PENZI LA MAMA WA KAMBO
Nilipomaliza kidato cha sita nilirudi nyumbani
kumsaidia mama majukumu nyumbani.,m.kwani umri
wa mama yangu ulikuwa Ni mkubwa Sanaa hivyo
ilikuwa Ni ngumu kwa yeye kumudu kazi nyingi hasa
za shamba,mkwa jina naitwa Jaden wengi
wanapendana kuniita Jay hasa watoto wakike
walipenda kuniita hivyo,.mm Ni mzaliwa Moshi
nmelelewa na mama, baba yangu anafanya kazi
wizara ya madini ila alitengana miaka 7 iliyopita na
nlisikia ameoa ila siku bahatika kwenda dar es laam
kwake,m,ilikuwa siku ya J2 nliamka mapema kwaajili
ya kuelekea shamba ila nliingia chumbani kwaajili ya
kumjulia mama yangu hali,m.nlibisha mlango wa
mama kwa mda mrefu ila ukimya ulizidi
kutawala,ilinibidi niingie ndani kwa mama huku hofu
ikiwa imenitanda,.mama?? Mama??
Mama?2m.nliendelea kuita bila mafanikio nkisogea
mpaka alipo mama Kisha nikaanza kumtikisa mama
mwili wake ulikuwa wa baridi Sanaa..nililia kwa
uchungu kitu ambacho kiliwafanya majirani waamke
kwa haraka na kusogea mpaka kilio kilipokuwa
kinatokea, sikuamini nlipoambiwa mama yangu
amefariki kwani mama alikuwa ndio Kila ki2 kwangu
kwanzia chakula na kunisomesha kiujumla maana
baba alishatusahau baada ya kwenda dar na kuoa
mwanamke mwengine,.mipango ya mazishi
ilifanyika na baba alikuja kumzika mama licha ya
tofauti zilizokuwepo baina yao,baada ya mazishi
kupita familia ilipendekeza baba anichukue niende
naye dar es salaam nikaishi naye kwake licha ya
kuwa teyari ameshaoa ila alikuwa bado haja bahatika
kupata mtoto na mama yangu huyo wa
kambo,mbaba hakuwa na pingamizi maana mm
nlikuwa damu yakeki ufupi baba yangu alikuwa na
miaka 60 huku mama yangumzazi aliyefariki alikuwa
ana miaka 50. ila nlisikia baba kaoa msichana wa
miaka 26 mm Nina miaka 22 tusafari ya kuelekea
dar es salaam ilianza tuliondoka Moshi majira ya saa
12 asubuhi safari ilikuwa ndefu ila tulifika salama na
tulifika majira ya saa 2 usiku kutokana na foleni ya
mbezi ndio ilitufanya tuchelewe.gari ya baba aina ya
Range Rover ilifika kwenye nyumba nzuri ya kifahari
Kisha geti likafunguliwa gari likaingia
ndani,,mlangoni alitoka mdada wa makamo Kama
miaka 26 aliyekuwa na umbo zuri... ITAENDELEA
Ahsante kwa kutrmbelea application yetu kama kuna tatizo lolote tucheke whatsapp kwa namba zetu hizi hapa 0713477356







Ni bonge la story bas
ReplyDelete🌹 Ushuhuda Wangu Kuhusu Dkt. Dawn – Mtu Aliyerejesha Nyumba Yangu na Furaha Yangu
ReplyDeleteNataka kushiriki ushuhuda wangu wa dhati kuhusu jinsi Dkt. Dawn alivyobadilisha maisha yangu kabisa.
Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na alikuwa ameenda kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.
Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwangu — na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.
Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.
Lakini si hayo tu — Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyokuwa ikizunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.
Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote — huzuni, bahati mbaya, au mkanganyiko — usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.
Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe: dawnacuna314@gmail.com